Mtangazaji wa KTN Marehemu Ahmed Darwesh azikwa katika makaburi ya Kikowani
16th December, 2015
Mtangazaji wa runinga ya KTN Marehemu Ahmed Darwesh alizikwa alasiri ya leo katika makaburi ya Kikowani . Jamaa na marafiki wakiwemo viongozi walifika kumpa buriani mwendazake aliyefahamika vyema vya utangazaji wa habari . Kulikuwa na huzuni mkubwa katika hafla hiyo