Mkulima mmoja wa viazi tamu Nyeri avuna kiazi cha uzani wa kilo 10
9th December, 2015
Wakaazi wa eneo la Mathira kaunti ya Nyeri walistaajabishwa baada ya mkulima mmoja wa viazi tamu kuvuuna kiazi cha uzani wa kilo 10. Kulingana naye itambidi wakile kiazi hicho kwa siku tatu pamoja na kununua sufuria mpya itakayoweza kukipika kiazi hicho. Hii hapa taarifa hiyo iliyoandaliwa na Saida Swaleh.