Zaidi ya watu 5000 Kinyach, Baringo wako katika hatari ya kuambukizwa ugonjwa wa Hepatitis B
9th December, 2015
Zaidi ya watu elfu 5 katika kata ya Kinyach kaunti ya Baringo wako katika hatari ya kuambukizwa ugonjwa mbaya wa Hepatitis B ambao unasemekana kukithiri miongoni mwa wenyeji eneo hilo. Inarifiwa taryari watu 40 wameshaaga dunia, baadhi wanaugua huku wengi wakisalia bila kujijua hali yao