×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Kizaaza chazuka baada ya mwanamke mmoja kujaribu kusimamisha harusi ya aliyekuwa mumewe

5th December, 2015

Wakaazi wa mtaa wa Imara Daima walijionea sinema ya bure mchana pale mama mmoja alipojaribu kusimamisha harusi iliyohusisha anayedai kuwa mumewe na mwanamke mwengine. Anne Nyamweya amedai kuwa mumewe alipanga mipango ya harusi kwa misingi kwamba mkewe alikuwa tayari ameaga dunia na hata kubadilisha vyeti vya kuzaliwa vya wana wao wanne. Kinaya kikuu ni kuwa harusi hiyo iliendelea kama ilivyopangwa licha ya mvutano uliokuwepo. Nick Wambua na taarifa hiyo.
.
RELATED VIDEOS