Maskwotaa 800 wanaomba kurejeshewa ardhi kilichonyakuliwa na mwabwenyenye Uasin Gishu
3rd December, 2015
Zaidi ya maskwotaa 800 wanaomba kurejeshewa kipande cha ardhi wanachodai kimenyakuliwa na mwabwenyenye katika kaunti ya Uasin Gishu. Maskwota hao sasa wanamtaka jaji mkuu Willy Mutunga kuharakisha kesi hiyo ili wapate haki mbali na kudai kuwa kesi hiyo imechukua muda mrefu kutatuliwa.