Familia ya mfanyikazi wa Strathmore aliyefariki kwa kuruka toka ghorofani wataka haki kufanyika
2nd December, 2015
Familia ya mfanyikazi wa chuo kikuu cha Strathmore aliyefariki baada ya kuruka kutoka ghorofa ya chuo hicho imejitokeza na kutaka haki kufanyika. Naye msemaji wa polisi Charles Owino amesema kuwa taratibu zifaazo hazikufuatwa. huku katibu wa wizara ya elimu akikitaka chuo cha Strathmore kuielezea serikli jinsi shughuli hiyo ilivyopangwa. Geff Kirui na taarifa hiyo.