Kenya yajiunga na ulimwengu mzima katika kuadhimisha siku ya ukimwi kote duniani
1st December, 2015
Kumekuwa na maambukizi mapya ya watu milioni mbili tangu mwaka jana ya virusi vya HIV humu nchini. Haya yanajiri huku Kenya ikijiunga na ulimwengu mzima katika kuadhimisha siku ya ukimwi kote duniani.