Timu ya GSU ndio mabingwa wa ligi ya mpira wa volibolili kwenye mechi za mchujo
29th November, 2015
Timu ya GSU ndio mabingwa wa mwaka huu wa ligi ya mpira wa volibolil ya humu nchini. GSU walipata ushindi huo baada ya kurekodi alama 7 kwenye mechi za mchujo. Kwenye mechi nyingine timu ya Pipeline ilihifadhi tanji lake baada ya kushnda Prisons kwenye mashindano hayo.