Jamaa mmoja amuua mkewe na kujiuwa, polisi amempiga mkewe risasai na pia kujiuwa
28th November, 2015
Jamaa mmoja huko Nakuru amemuua mkewe na kisha kujiuwa akihofu kwamba mkewe amemtoroka baada ya kufadhiliwa kwa mchango wa pesa na wasamaria wema. Fedha hizo zilikuwa za kulipia ada ya hospitali ya mtoto wao…. kwengineko kwenye tukio sawia afisa mmoja wa polisi eneo la Embu amempiga mkewe risasai na vile kujiuwa. Lofty Matambo anaarifu kwa kina