Eneo moja Subukia linaaminika kuwa madhabahu makuu ya waumini wa kanisa Katoliki, Kenya
24th November, 2015
Eneo moja la Subukia linaaminika kuwa madhabahu makuu ya waumini wa kanisa katoliki nchini Kenya. Yaaminika miongoni mwa wakatoliki kwamba kufika kwenye madhabahu ya Subukia kunatoa nafasi ya muumini kutubu dhambi na kuondoka akiwa kiumbe kipya. Agnes Penda alifunga Safari kujionea moja kwa moja yanayoendelea kwenye madhabahu hayo.