Papa Francis ataka utangamano wa kidini miongoni mwa watu wenye imani mbalimbali.
23rd November, 2015
Papa Francis ambaye anawasili nchini Kenya ameonekana kutaka utangamano wa kidini miongoni mwa watu wenye imani mbalimbali. Hata hivyo anazuru Kenya ambayo imekuwa ikikabiliwa na tatizo misimamo mikali ya kidini katika baadhi ya sehemu. Papa kadhalika atatembelea Jamhuri Ya Afrika ya Kati ambako kuna mgawanyiko mkubwa kati ya Waisalamu na Wakristu. Paul Nabiswa na taarifa hio.