×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Kutana na Ryan Thuku na Jason Oyuchi, watoto walio na uwezo wa kusoma kama macho yamefungwa

21st November, 2015

Binadamu humiliki vipaji na talanta mbalimbali kama vile uigizaji, uchoraji,uimbaji na kadhalika. Lakini kisa kimoja cha mtoto aliye na uwezo wa kusoma kama macho yamefungwa kinastaajabisha na kuwaacha wengi na maswali chungu nzima. Ryan Thuku aliye na umri wa miaka tisa anakipawa hicho maalum cha kuona kama amefumba macho. Na isitoshe, kakake mdogo Jason Oyuchi pia ana kipawa kama hicho.
.
RELATED VIDEOS