Mama afariki hospitali ya rufaa ya Samburu saa 17 baada ya kujifungua kwa njia ya upasuaji
18th November, 2015
Visa vya wanawake kufariki wanapojifungua mikononi mwa wahudumu wa afya vimekithiri. Baadhi ya wahudumu wa afya wamekuwa wakilaumiwa kwa utepetevu na kusabababisha akina mama kuaga dunia wanapojifungua. Mama mwingine amefariki katika hospitali ya rufaa ya Samburu saa 17 baada ya kujifungua kwa njia ya upasuaji.