Wakenya waadhimisha siku ya kuwakumbuka waathiriwa wa ajali za barabarani
15th November, 2015
Wakenya waliungana na ulimwengu mzima kwenye matembezi ya kuadhimisha siku ya kuwakumbuka waliofariki katika ajali za barabarani. Siku hiyo huadhimishwa kila Jumapili ya pili, mwezi November. Kwenye hafla hiyo ilibainika pia kwamba vikundi vya mitandao kama whatsapp vinahujumu juhudi za kuzuia ajali.