×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Wakenya waadhimisha siku ya kuwakumbuka waathiriwa wa ajali za barabarani

15th November, 2015

Wakenya waliungana na ulimwengu mzima kwenye matembezi ya kuadhimisha siku ya kuwakumbuka waliofariki katika ajali za barabarani. Siku hiyo huadhimishwa kila Jumapili ya pili, mwezi November. Kwenye hafla hiyo ilibainika pia kwamba vikundi vya mitandao kama whatsapp vinahujumu juhudi za kuzuia ajali.
.
RELATED VIDEOS