Mahakama Kuu ya Mombasa yaondoa marufuku kwa akaunti za benki za mashirika ya Haki Afrika
12th November, 2015
Mahakama kuu mjini mombasa hatimaye imeondoa marufuku kwa akaunti za benki za mashirika ya haki afrika na muhuri.... Jaji anyara emukule kwenye uamuzi wake amesema kuwa mashirika hayo hayakupatiwa muda ufaao kujieleza kabla kufungwa kwa operesheni zao….viongozi wa mashirika hayo wamesema kuwa watarejea katika shughuli zao mara moja