Jinsi vijana wanajiepusha na minyororo ya uhalifu Kisumu
5th November, 2015
Jiji la Kisumu limekuwa likigonga vichwa vya habari kutokana na ongezeko la visa vya uhalifu. Lakini katika mtaa wa mabanda wa Obunga kuna vijana ambao wameamua kujiepusha na minyororo hiyo ya uhalifu. Kama anvyoripoti Victor Ogalle vijana hao wanaeneza ujumbe kwa wenzao waliosalia kwenye uhalifu kujinasua wenyewe.