×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Jinsi vijana wanajiepusha na minyororo ya uhalifu Kisumu

5th November, 2015

Jiji la Kisumu limekuwa likigonga vichwa vya habari kutokana na ongezeko la visa vya uhalifu. Lakini katika mtaa wa mabanda wa Obunga kuna vijana ambao wameamua kujiepusha na minyororo hiyo ya uhalifu. Kama anvyoripoti Victor Ogalle vijana hao wanaeneza ujumbe kwa wenzao waliosalia kwenye uhalifu kujinasua wenyewe.
.
RELATED VIDEOS