Ufisadi: Je lipo lililofichika kuhusu Vituo vya Huduma Centre?
4th November, 2015
Vituo vya Huduma Centres ni miongoni mwa idara za serikali zinazodaiwa kunufaikia ufisadi huku baadhi ya vifaa katika vituo hivyo vikinunuliwa kwa njia ya ubadhirifu. Hayo yakijiri mjini Mombasa kamishna wa kaunti hiyo Nelson Marwa alikuwa akiondolea vituo hivyo lawama. Je lipo lililofichika? John Juma anaripoti