Wakaazi wa Nakuru wavamia afisi kuu ya kaunti kuwasilisha malalamishi yao kwa Gavana Kinuthia Mbugua
3rd November, 2015
Kulikuwa na wasiwasi katika afisi kuu za serikali ya Kaunti ya Nakuru pale polisi wa kupambana na vurumai walipokizuia kikundi cha wanaharakati walionuia kuzivamia afisi hizo kwa lengo la kuwasilisha malalamishi yao kwa Gavana Kinuthia Mbugua. Malalamishi hayo ni kuhusu ripoti ya mhasibu mkuu wa serikali iliyoonyesha ubadhirifu wa fedha katika kaunti ya Nakuru. Kamche Menza anaarifu.