Uhaba wa maji mjini Garissa na maeneo yaliyo karibu yawaathiri wakazi pakubwa
30th October, 2015
Uhaba wa maji mjini Garissa na maeneo yaliyo karibu umeathiri wakazi huku ikiarifiwa kwamba tatizo hilo limetokana na mzozo kuhusu nani anafaa kuongoza kampuni ya maji ya Garissa. Aidha mwanafunzi mmoja wa kike amefariki baada ya kugongwa na gari alipokuwa akivuka barabara kwenda kutafuta maji ya kunywa.