×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Uhaba wa maji mjini Garissa na maeneo yaliyo karibu yawaathiri wakazi pakubwa

30th October, 2015

Uhaba wa maji mjini Garissa na maeneo yaliyo karibu umeathiri wakazi huku ikiarifiwa kwamba tatizo hilo limetokana na mzozo kuhusu nani anafaa kuongoza kampuni ya maji ya Garissa. Aidha mwanafunzi mmoja wa kike amefariki baada ya kugongwa na gari alipokuwa akivuka barabara kwenda kutafuta maji ya kunywa.
.
RELATED VIDEOS