×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Wakaazi wa Kajiado washindana na wanyama wa mwitu kwenye visima asili vya maji

29th October, 2015

Eneo la Kajiado limekuwa likikumbwa na ukosefu wa maji huku raia wa eneo wakijipata wakishindana na wanyama wa mwitu kwenye baadhi ya visima asili vya maji. na sasa waziri wa maji Eugene Wamalwa amezindua miradi 40 ya maji kwa gharama ya shilingi bilioni 1.1 akisema ndiyo suluhu ya tatizo hilo.
.
RELATED VIDEOS