Watu wawili wakamatwa kwa kutangaza huduma za uganga mjini Mombasa
21st October, 2015
Watch KTN Live http://www.ktnkenya.tv/live
Watch KTN News hWatu wawili wamefunguliwa mashtaka ya kuweka mabango ya kutangaza huduma za uganga mjini Mombasa bila idhini na bila ya kulipia ada za kutangaza huduma hizo. Wawili hao walikamatwa wakati wa msako uliofanywa na serikali ya kaunti ya Mombasa wa kung’oa mabango hayo. Je, mabango hayo yanamaanisha nini kwa mji wa Mombasa? John Juma anaripoti zaidi.