Wawakilishi wa kaunti ya Murang'a wapitisha hoja ya kutokuwa na imani na Gavana Mwangi wa Iria
21st October, 2015
Wawakilishi wa kaunti ya Murang'a wamepitisha hoja ya kutokuwa na imani na Gavana Mwangi wa Iria . Hoja ya kutimuliwa mamlakani imewasilishwa na mwakilishi maalum Mary Waithera. Wawakilishi 35 waliunga mkono kuondolewa mamlakani kwa wa Iria huku 15 wakipinga hoja hiyo.