×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Changia mgonjwa wa saratani Josephine Mukite kupitia nambari ya M-pesa paybill : 761818

16th October, 2015

Mtazamaji hapo jana tulikuletea taarifa kwenye KTN leo kumhusu mgonjwa wa saratani Josephine Mukite ambaye ameathirika kwa miaka miwili sasa? Baada ya taarifa hiyo watazamaji wengi walieza ari ya kumsaidia Josepphine kugharamia matibabu yake. Josephine anahitaji shilingi elfu mia sita ili aweze kukamilisha matibabu yake. Basi Josephine anaweza kuchangiwa kupitia nambari ya M-pesa paybill ; 761818 jina la akaunti ni Josephine Mukita Lugano pia benki ya Family au Family bank ukipenda account number 033000016686
.
RELATED VIDEOS