Changia mgonjwa wa saratani Josephine Mukite kupitia nambari ya M-pesa paybill : 761818
16th October, 2015
Mtazamaji hapo jana tulikuletea taarifa kwenye KTN leo kumhusu mgonjwa wa saratani Josephine Mukite ambaye ameathirika kwa miaka miwili sasa? Baada ya taarifa hiyo watazamaji wengi walieza ari ya kumsaidia Josepphine kugharamia matibabu yake. Josephine anahitaji shilingi elfu mia sita ili aweze kukamilisha matibabu yake. Basi Josephine anaweza kuchangiwa kupitia nambari ya M-pesa paybill ; 761818 jina la akaunti ni Josephine Mukita Lugano pia benki ya Family au Family bank ukipenda account number 033000016686