Mwanawe Lizy Achieng ana uti wa mgongo ambao huvuja maji na damu mara kwa mara
14th October, 2015
Lizy Achieng kwa muda wa miaka mitatu sasa ni mzazi ambaye katika muda wa mwaka mmoja na miezi minne amelazimika kumgharamia mwanawe anayeathirika kwa ugonjwa ambao sio wa kawaida. Mtoto huyo ana tatizo kwenye uti wa mgongo wake ambao huvuja maji na damu mara kwa mara. Victor Ogalle na taarifa zaidi.