×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Serikali yatoa shilingi Bilioni Kumi na Moja kwa mpango wa elimu bila malipo kwa shule za umma

14th October, 2015

Serikali hatimaye imetoa shilingi Bilioni Kumi na Moja kwa mpango wa elimu bila malipo kwa shule za umma. Fedha hizo hata hivyo zimetolewa baada ya wakuu wa shule za Sekondari kulalamikia kuchelewa kwa kifungu hicho, hali ambayo ilitishia kulemaza bajeti ya mitihani ya kidato cha nne inayoendelea kote nchini. Mwenyekiti wa chama cha wakuu wa shule za sekondari John Awitti amesema kwamba kukosekana kwa fedha hizo kuliwapa wasiwasi wakuu wa shule, kutokana na ukosefu wa vifaa vilivyohitajika kununuliwa kwa ajili ya mitihani ya sayansi, inayofanywa katika maabara, yaani practicals
.
RELATED VIDEOS