×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Bodi ya uchaguzi wa FKF yalaumiwa kwa kutomakinika

14th October, 2015

Huku zikiwa imesalia siku chache kabla ya kuandaliwa kwa uchaguzi wa shirikisho la kandanda nchini, bodi ya uchaguzi wa FKF inanyoshewa vidole vya lawama na baadhi ya washika dau wa soka nchini kwa kile kinacho tajwa kama kutomakinika. Kulingana na Doris Petra ambaye ni naibu wa mgombeaji Nick Mwendwa pamoja na David Gikaria mwenyekiti wa tawi la eneo la Central Rift, bodi ya uchaguzi chini ya uongozi wa Donald Kipkorir haijaandaa mkutano hata mmoja, jambo litakalo lemaza uchaguzi ujao.
.
RELATED VIDEOS