Je ni changamoto zipi walizopitia watahiniwa wa mwaka huu wakati wa mgomo
6th October, 2015
Baadhi ya mitihani ya kitaifa ilianza wiki jana wakati ambapo walimu bado walikuwa wamesusia kazi. Watahiniwa wa mwaka huu hawajaweza kupata wakati mwafaka wa muhula wa tatu kunolewa makali kama wenzao wa awali. Je ni changamoto zipi walizopitia wakati wa mgomo na je matumaini yao ni yepi katika safari yao ya kutafuta ufunguo wa maisha