×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mvua kubwa inatarajiwa kunyesha katika kaunti ya Mombasa na sehemu kadhaa za Pwani

6th October, 2015

Mvua kubwa inatarajiwa kunyesha katika kaunti ya Mombasa na sehemu kadhaa za Pwani kuanzia usiku wa leo. Haya ni kwa mujibu wa idara ya utabiri wa hali ya anga. Watabiri wamesema huenda mvua hiyo ya zaidi ya milimita thelathini kwa siku tatu mfululizo ikasababisha mafuriko au maporomoko ya ardhi. Idara hiyo sasa imewataka wapwani na wakazi wengine walio sehemu za Mombasa au kaskazini mwa Mombasa, mfano na Mtwapa, kuepuka mikondo ya maji wakati wa mafuriko ili kuepuka hatari.
.
RELATED VIDEOS