Kijana wa kidato cha pili apokea sifa kwa kufanikiwa kuchapisha kitabu alichokiandika mwenyewe
4th October, 2015
Kijana mmoja kutoka kaunti ya Uasin Gishu anasifika na wengi wenye umri kama wake baada ya kufanikiwa kuchapisha kitabu alichokiandika mwenyewe. Tony Ngala ana umri wa miaka 17 na ana ari ya kuandika vitabu vingi ili kuikuza talanta yake. Saida Swaleh na taarifa hiyo