Chama cha walimu cha KNUT chawaarifu walimu wasirejee shuleni
28th September, 2015
Sekta ya elimu nchini Kenya bado inakumbwa na changamoto baada ya chama cha kitaifa cha KNUT kuwaarifu walimu wasirejee shuleni. Katibu mkuu wa chama hicho Wilson Sossion ametuma taarifa katika vyombo vya habari na kusema kuwa watatoa mwelekeo hapo kesho baada ya kupata maagizo ya mahakama. Hussein Mohammed anaarifu zaidi