Jamii ya Wameru yaibua hisia mseto sasa kufuatia kisa cha mvulana kuchomwa na panga akipashwa tohara
21st September, 2015
Kupashwa kwa tohara imekuwa ni nguzo muhimu kwa jamii mbalimbali hapa Nchini. Hata hivyo katika jamii ya Wameru hisia mseto sasa zinaibuka kufuatia kisa cha mvulana kuchomwa na panga wakati wa kupashwa tohara, huku familia yake ikisalia kutafuta haki . Hussein Mohammed alizungumza na baadhi ya wakaazi wa jamii hiyo kutafuata mwafaka wa mila na tamaduni hizo.