Mradi wa NYS yashitishwa katika Kaunti ya Kisumu
18th September, 2015
Mradi wa huduma ya vijana kwa taifa nys jijini kisumu umesitishwa…mradi huo uliozinduliwa mwezi aprili na rais kenyatta uliyepokelewa kwa mkono mkunjufu na wakazi wa kisumu. Hata hivyo mbunge wa kisumu ya kati ken obura anamlaumu seneta wa kisumu anyang’ nyong’o kwa kuhusika katika njama ya kusitisha mradi huo.victor ogalle na taarifa zaidi.