Viongozi mbalimbali waikosoa serikali kwa uamuzi wa kufunga shule
18th September, 2015
Hatua ya serikali ya kufunga shule imekosolewa vikali na washikadau katika sekta ya elimu huku kiongozi wa cord raila odinga akiridhia tangazo kwamba upinzani utaungana na walimu kuendeleza maandamano nchini… aidha kumekuwa na kinaya kwamba huku shule zikifungwa katibu katika wizara ya elimu belio kipsang ameongoza hafla ya kutoa ratiba ya mitihani ya taifa.