×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Viongozi wataka shughuli ya kubinafsisha sekta ya sukari nchini kusitishwa mara moja

15th September, 2015

Viongozi wa kisiasa kutoka maeneo yanakokuza miwa wametaka shughuli ya kubinafsisha sekta ya sukari nchini kusitishwa mara moja na kuanzishwa upya. Viongozi hao wamesema washikadau wakuu hawajahusishwa katika shughuli ilhali inagusia baadhi ya maswala nyeti mathalan ardhi za upanzi wa miwa. Viongozi hao wakiwemo Magavana watano, wabunge na Maseneta wamesema hayo walipokongamana mjini Mombasa kwenye kikao na tume ya ubinafsishaji nchini
.
RELATED VIDEOS