“Hatupepesi jicho ngo’ !’ ndio msimamo waliochukua walimu kupitia wasimamizi wa miungano yao
6th September, 2015
“Hatupepesi jicho ngo’ !’ ndio msimamo waliochukua walimu kupitia wasimamizi wa miungano yao baada ya kutishwa kufutwa kazi na tume ya kuajiri walimu TSC. Kulingana nao wamechoka kutishiwa ilahali wana kila haki ya kutetea haki zao waliokabidhiwa kupitia mahakama. Wakati huo huo viongozi wa dini wameunga mkono walimu na kuitaka serikali kuwajibika.