Mgomo wa walimu: Masaibu wanayopitia wanafunzi haswa wale wa darasa la nane
6th September, 2015
Wakati huo huku mgomo wa walimu ukitarajiwa kuingia wiki yake ya pili bila suluhu, KTN imetembelea shule kadha na kujionea masaibu wanayopitia wanafunzi haswa wale wa darasa la nane wanaojitayarisha kwa mtihani wa kitaifa baadaye mwaka huu.....Robert Wanyonyi na taarifa hiyo