Vita dhidi ya pombe haramu yaendelea Laikipia huku wakaazi wakishirikisha kujadili suala la pombe
1st September, 2015
Vita dhidi ya pombe haramu vinaendelea huku wakaazi wa Laikipia wakishirikishwa na viongozi kwenye kikao cha kujadili suala la pombe katika kaunti. Viongozi walitaka maoni yao wakazi kuhusu kutolewa kwa leseni za baa na maduka ya kuuza pombe katika Kaunti hiyo.