Shirika la kuthibiti muziki lina jukumu la kutoa leseni kwa magari za matatu na maeneo ya burudani
26th August, 2015
Je unapoabiri gari lenye muziki unafahamu haki zako ukiwa mkenya kuhusiana na kiwango cha sauti ya muziki huo? Ndilo suala ambalo tutajadili katika sehemu ya pili ya habari zetu leo kwamba shirika la kuthibiti muziki lina jukumu la kutoa leseni kwa magari na maeneo ya burudani ili kukusanya ada ambazo baadaye hutumika kuwalipa watunzi wa muziki.