×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Gladys Boss Shollei alifika mahakamani kujibu mashata kuhusu matumizi mabaya ya afisi

24th August, 2015

Aliyekuwa msajili mkuu wa mahakama Gladys Boss Shollei alifika katika mahakama ya hakimu mkuu wa Nairobi kujibu mashata kuhusu matumizi mabaya ya afisi na kukiuka kanuni za zabuni wakati wa ununuzi wa nyumba ya jaji mkuu. Alikanusha mashtaka yote na kuachiliwa kwa dhamana ya shilingi laki sita pesa taslimu. Paul Nabiswa anaarifu
.
RELATED VIDEOS