Gladys Boss Shollei alifika mahakamani kujibu mashata kuhusu matumizi mabaya ya afisi
24th August, 2015
Aliyekuwa msajili mkuu wa mahakama Gladys Boss Shollei alifika katika mahakama ya hakimu mkuu wa Nairobi kujibu mashata kuhusu matumizi mabaya ya afisi na kukiuka kanuni za zabuni wakati wa ununuzi wa nyumba ya jaji mkuu. Alikanusha mashtaka yote na kuachiliwa kwa dhamana ya shilingi laki sita pesa taslimu. Paul Nabiswa anaarifu