Kenya yashiriki mashindano ya Ngamia
16th August, 2015
Kenya inajivunia kuwa mojawapo ya Nchi zinazotambulika kwenye ulingo wa michezo, si riadha, si mchezo wa raga, na hivi majuzi shindano la Ngamia. Mwana habari wetu Geff Kirui ametundalia taarifa ya mchezo huo ambao unaendelea kupata umaarufu kwa kasi kubwa mno.