Mwanasarakasi mtajika Tiger Power alazwa hospitalini kwa maradhi ya moyo
12th August, 2015
Mwanasarakasi mtajika Conrad Edward Njeru Karukenya anayefahamika na wengi kama Tiger Power yuko katika hospitali ya Kenyatta anakopokea matibabu kwa maradhi ambayo madaktari wamesema ni ya moyo. Hata hivyo Karukenya anayekumbwa na changamoto za kulipia bili za matibabu hospitalini ana matumaini kuwa atapata afueni