Timu ya Taifa ya mpira wa voliboli ya kina dada imeapa kurekodi matokeo mema kwenye kombe la dunia
10th August, 2015
Timu ya Taifa ya mpira wa voliboli ya kina dada imeapa kurekodi matokeo mema kwenye kombe la dunia la mwaka huu litakaloandaliwa nchini Japan mwezi huu. Huku mashindano ya all Africa Games yakikaribia na Kenya ikitarajiwa kushiriki kwenye mchezo huo , timu ya chipukizi imepewa jukumu la kuwakilisha Kenya katika mashindano hayo. Malika Stikers wataondoka nchini siku ya Alhamisi kuelekea Japan.