Mkenya apokea ufadhili wa milioni Sh 2.5 kutoka kwa mwekezaji katika kongamano
27th July, 2015
Mkenya mmoja kwa jina Tony Ndung'u ni mmoja wa wachache waliokumbana na kheri njema kwenye kongamano la ubunifu wa kibiashara lililofunguliwa na Rais wa marekani Barack Obama. Ndungu alipokea ufadhili wa zaidi ya shilingi milioni 2.5 kutoka kwa mwekezaji aliyefurahishwa na teknolojia aliyounda miaka miwili iliyopita… . mashirima kapombe alikutana naye na hii hapa taarifa hiyo.