Mzozo yaibuka kuhusu pombe haramu mjini Nakuru
17th July, 2015
Mbunge wa nakuru mashariki David gakuria ameendelea kuchoma na kuimwaga pombe katikati ya mji wa nakuru katika kile anachokitaja kuwa vita dhidi ya pombe haramu. Kumwagwa huku kwa pombe kumejiri saa chache baada ya mbunge huyo kuzozana vikali na gavana wa kaunti ya nakuru kinuthia mbugua ambap0 mbugua alimkashifu vikali mbunge huyo kwa kutumia mbinu sizizofaa kuendeleza oparesheni hiyo. Lofty matambo na kizungumkuti hicho kipya kwenye kampeni ya pombe haramu.