Ajuza mmoja alazimika kulala katika kituo cha polisi kwa madai ya kutolipa kodi
9th July, 2015
Ajuza mmoja alilazimika kulala katika kituo cha polisi usiku wa kuamkia leo baada ya kukamatwa kwa madai ya kutolipa kodi ya shilingi laki tisa tangu mwaka 2000. Inadaiwa kuwa kiini cha kushikwa kwa esther nyambura ni utata wa biashara za kifamilia na maswala ya urathi.