×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Ajuza mmoja alazimika kulala katika kituo cha polisi kwa madai ya kutolipa kodi

9th July, 2015

Ajuza mmoja alilazimika kulala katika kituo cha polisi usiku wa kuamkia leo baada ya kukamatwa kwa madai ya kutolipa kodi ya shilingi laki tisa tangu mwaka 2000. Inadaiwa kuwa kiini cha kushikwa kwa esther nyambura ni utata wa biashara za kifamilia na maswala ya urathi.
.
RELATED VIDEOS