Wanariadha mia nane wasajiliwa kushiriki mashindano ya kitaifa ya riadha wanjani Kasarani.
8th July, 2015
Zaidi ya wanariadha mia nane wamesajiliwa kushiriki mashindano ya kitaifa ya riadha ambayo yatangoa nanga hapo kesho katika uwanja wa Kasarani. Mashindano yamwaka huu pia yamevutia washiriki wengi wa michezo yaviwanja kama vile urushaji mkuki ikilinganishswa na hapo awali.