Maafisaa sita wa trafiki wakamatwa katika mzunguko wa reli hapa jijini Nairobi kwa madai ya hongo.
8th July, 2015
Wachunguzi wa tume ya ufisadi na maadili nchini wamewakamata maafisaa sita wa trafiki katika mzunguko wa railway hapa jijini kwa madai ya kuitisha hongo kutoka kwa waendeshaji matatu wanaotumia njia hiyo