×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Muungano wa kitaifa wa vinywaji na pombe washtaki serikali kwa hasara waliopata

7th July, 2015

Zaidi ya shilingi billioni mbili zimepotea katika muda wa wiki iliyopita, haya ni kwa mujibu ya muungano wa kitaifa wa vinywaji na pombe - Nabak, ambao wamesema kuwa wafanyibiashara wengi wamepoteza mali ya mamilioni ya pesa katika shughuli ya juma zima ya kukabiliana na pombe haramu. Kauli hii inajiri huku maeneo tofauti yakiendeleza operesheni ya kumaliza pombe haramu, Hussein Mohammed anatupa taswira kamili ya swala hili huku mvutano huu ukionekana kufika mahakamani.
.
RELATED VIDEOS