Kundi lamtaka Rais Barrack Obama kutozungumzia maswala yanayohusu mashoga
6th July, 2015
Kundi moja la kibinafsi liliandaa maandamano hapa jijini Nairobi wakimtaka Rais Barrack Obama kutozungumzia maswala yanayohusu mashoga wa wasagaji katika ziara yake ya humu nchini. Kundi hilo lilisema kuwa mambo hayo yanakiuka maadili na tamaduni za Kiafrika na kuonya kuwa kujadiliwa kwake hadharani kutatoa mfano mbaya kwa kizazi cha sasa. Saida Swaleh na mengi zaidi.