Vita dhidi ya vileo na pombe haramu vimeendelea katika maeneo mbalimbali ya humu nchini
5th July, 2015
Vita dhidi ya vileo na pombe haramu vimeendelea katika maeneo mbalimbali ya humu nchini lakini kuchacha zaidi katika eneo la kati. Wakaazi wengi wa maeneo haya wameapa kuendelea na vita hivyo hadi pale watakapofaulu kuondoa kuenea kwa pombe haramu katika maeneo yao.